african print ankara kitenge

KITENGE

6/27/2013Unknown
 Ya kitenge hiyo toka kwangu  Bonyeza hapo chini kuona picha zaidi  Ya kitenge hiyo toka kwangu  Bonyeza hapo chini kuona picha zaidi ...

Continue Reading

mapishi

MISHIKAKI YA MBOGA MBOGA

6/26/2013Unknown
Mahitaji: Nyama/Steak Tangawizi Kitunguu Saumu Chumvi Limao/Ndimu Soy sauce/Sio lazima Hoho Karoti   ...

Continue Reading

african print ankara dresses

LONG KITENGE DRESS

6/25/2013Unknown
Habari zenu wapendwa! Mko poa? Nyingine tena ya kitenge toka kwangu Evening Kitenge Dress Waweza tupia kivazi hichi kwenye mtoko wa jioni au kwenye sherehe kama kitchen party, send off au harusi Bonyeza chini hapo kwa picha zaidi ...

Continue Reading

african print ankara kitenge

HIGH WAIST KITENGE SKIRT

6/20/2013Unknown
 Aje! Mko poa? Nyingine hii ya kitenge kutoka kwangu Ni sketi ya belt kubwa, malinda ya kuvuta na mifuko Zipu na vifungo, nimeweka nyuma Ni rahisi sana kutengeneza hii sketi, sababu ya muda nashindwa kupost picha na video za jinsi ya kutengeneza nguo simple ambazo wewe mdau unaweza ukajitengenezea ya kwako hapo nyumbani Naahidi nitakapopata muda nitapost tutorial za kushona nguo simple Sketi kama hii haiitaji uwe mtaalamu...

Continue Reading

mapishi

RAINBOW BEEF

6/08/2013Unknown
Mahitaji:  Nyama/Beef Soya sauce Tangawizi Kitunguu saumu Limao/ndimu(sio lazima) Mafuta ya kupikia Kitunguu maji Nyanya Hoho Karoti Chumvi Njia: Anza kwa kukatakata nyama, kisha isafishe vizuri. Kisha changanya nyama pamoja na tangawizi na kitunguu saumu ambavyo utakua umeviandaa kwa kuviponda au kuvichop. Ongezea na soya sauce kisha iache kwa muda wa kama dakika 30 mpaka 45. Hii itasaidia nyama kuiva haraka Wakati unasubiria nyama iendelee kuchanganyika na viungo...

Continue Reading

urembo

SCRUB YA NAZI (COCONUT SCRUB)

6/05/2013Unknown
 Habari wadau! Hivi unajua kuwa unaweza kuwa mrembo kwa kutumia vitu vya asili tu? Ndio inawezekana! Wengi wetu tumekariri kwamba, ili uwe mrembo na mwenye muonekano wa kuvutia machoni pa watu, basi ni lazima utumie vipodozi vya madukani, vyenye kemikali za kila aina. Tena vingine vina kemikali za sumu. Na vipodozi hivi vinauzwa kwa bei ghali kweli. Na wakati mwingine usipate hata yale matokeo uliyokuwa unategemea. Unakua umepoteza...

Continue Reading

mapishi

WALI WA CHOROKO(MSETO)

6/03/2013Unknown
 Mahitaji: Mchele Choroko Tui la nazi Chumvi Maji Njia: Chambua mchele kwa kutoa taka taka zote kisha uoshe vizuri ikiwezekana pembua ili kuondoa mawe kama mchele wako utakua na mawe Chambua choroko na kisha zioshe vizuri na zichemshe kidogo, zisiive sana kwani zitalainika wakati unapoendelea kupika wali. Kwahiyo uwe makini hapa choroko zisiive Kuna nazi yako uliyoiandaa Pasha maji yawe ya uvuguvugu kidogo kwa ajili ya kuandalia tui....

Continue Reading

1234

Recent posts

Contact Form