Habari!
Natumai muwazima wa afya njema kabisa
Ya kwangu ya kitenge
Ni kikoti(Blazer) cha kawaida tu
Manjonjo(details) mgongoni hapo
Kuna malinda ya uongo na kweli
Umeipenda?
Nitafute
kibuafashions@gmail.com
Usisahau Kunifollow
***
Habari wadau!
Ya kitenge hii toka kwangu,
Ni skirt na blauzi za kawaida kabisa
Skirt kimtaa tunaita "A shape", mbele ina mipasuo miwili, usawa wa goti kushoto na kulia
Lakini kwenye picha hapa hainekani vizuri
Na kwa nyuma ni pande mbili za kawaida